Ukosefu nguvu za kiume katika karne hii ya ishirini na moja imekuwa ni tatizo kubwa ikilinganishwa na kipindi cha zamani, halikadharika tatizo hili limekuwa likisababisha kuendelea kwa michepuko kila kukicha hata kupelekea ndoa na mahusiono mengi ya kimapenzi kufa.
Na maana halisi ya upungufu wa nguvu za kiume ni; Ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume ni ile hali ya mwanaume kutokuwa na uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa kwa ufasaha.
Mwanaume mwenye tatizo la ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume anakuwa hana uwezo wa kumtosheleza mwanamke kwenye tendo la ndoa. Baade mwanamke baada ya huona hali hiyo huamua kwenda kwa mwanaume mwingine ambaye ana uwezo wa kukidhi matakwa yake ya kimapenzi husasani swala zima la tendo la ndoa.
Hii ni tiba bora na ya uhakika kabisa na hasa kwa mtu aliye athiriwa na punyeto.